Liturujia · Isaya 61:1–3, 6, 8–9 · Ufunuo 1:5–8 · Luka 4:16–21
Mahubiri ya Misa ya Krisma
Askofu Emmanuel Chacha ·
Sauti na video
Hakuna rekodi iliyoambatishwa na mahubiri haya.

Ndugu mapadre, baada ya muda mtasimama na kufanya upya mliyoahidi siku ya kupewa upadre, na baadhi yenu mtafanya hivyo kwa mara ya arobaini.
Nataka kusema hili tu. Ahadi mnayoiona ngumu zaidi si ile mnayodhani. Ni utii — si kwangu, bali kwa parokia msiyoiomba, asubuhi msiyotaka kuamka.
Mafuta yanarudi nanyi leo. Na jimbo pia.
Sambaza hiiWhatsAppBarua pepe